Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 27

Mithali 27:1-3

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Usijisifu kwa ajili ya kesho, maana hujui siku italeta nini.
2Mtu mwingine akusifu na wala si kinywa chako mwenyewe, mgeni na wala si midomo yako mwenyewe.
3Fikiria uzito wa jiwe na uzito wa mchanga- uchokozi wa mpumbavu ni mzito zaidi kuliko hivyo vyote.

Read Mithali 27Mithali 27
Compare Mithali 27:1-3Mithali 27:1-3