Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 24

Mithali 24:4-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Kwa maarifa vyumba hujazwa vitu vyote vya thamani na utajiri wa kupendeza.
5Shujaa wa hekima ni imara, na mtu wa maarifa huongeza nguvu zake;
6maana kwa uongozi wa busara unaweza kufanya vita na kwa washauri wengi kuna ushindi.
7Hekima ipo juu sana kwa mpumbavu; hafumbui kinywa chake kwenye mlango.

Read Mithali 24Mithali 24
Compare Mithali 24:4-7Mithali 24:4-7