Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 23

Mithali 23:24-29

Help us?
Click on verse(s) to share them!
24Baba yake mwenye haki atafurahia sana, na yule amzaaye mtoto mwenye busara atamfurahia.
25Mfurahishe baba yako na mama yako na yule aliyekuzaa afurahie.
26Mwanangu, nipe moyo wako na macho yako yachunguze njia zangu.
27Maana malaya ni shimo refu, na mke wa mume mwingine ni kisima chembamba.
28Anavizia kama mnyang'anyi na huongeza idadi ya wadanganyifu miongoni mwa wanadamu.
29Nani mwenye taabu? Nani mwenye huzuni? Nani mwenye mapigano? Nani mwenye malalamiko? Nani mwenye majeraha bila sababu? Nani mwenye macho mekundu?

Read Mithali 23Mithali 23
Compare Mithali 23:24-29Mithali 23:24-29