2na kama ni mtu unayependa kula chakula sana weka kisu kooni.
3Usitamani vinono vyake maana ni chakula cha uongo.
4Usifanye kazi sana ili kupata mali; uwe na busara ya kutosha ili ujue wakati wa kuacha.
5Je utaruhusu macho yako yaangaze juu yake? Itaondoka, maana itawaa mabawa kama tai na kuruka angani.