Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 23

Mithali 23:2-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2na kama ni mtu unayependa kula chakula sana weka kisu kooni.
3Usitamani vinono vyake maana ni chakula cha uongo.
4Usifanye kazi sana ili kupata mali; uwe na busara ya kutosha ili ujue wakati wa kuacha.
5Je utaruhusu macho yako yaangaze juu yake? Itaondoka, maana itawaa mabawa kama tai na kuruka angani.

Read Mithali 23Mithali 23
Compare Mithali 23:2-5Mithali 23:2-5