2 na kama ni mtu unayependa kula chakula sana weka kisu kooni.
3 Usitamani vinono vyake maana ni chakula cha uongo.
4 Usifanye kazi sana ili kupata mali; uwe na busara ya kutosha ili ujue wakati wa kuacha.
5 Je utaruhusu macho yako yaangaze juu yake? Itaondoka, maana itawaa mabawa kama tai na kuruka angani.