Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 23:2-5 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 23:2-5 in Biblia ya Kiswahili

2 na kama ni mtu unayependa kula chakula sana weka kisu kooni.
3 Usitamani vinono vyake maana ni chakula cha uongo.
4 Usifanye kazi sana ili kupata mali; uwe na busara ya kutosha ili ujue wakati wa kuacha.
5 Je utaruhusu macho yako yaangaze juu yake? Itaondoka, maana itawaa mabawa kama tai na kuruka angani.
Mithali 23 in Biblia ya Kiswahili