Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 22

Mithali 22:13-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Mtu mvivu husema, “Kuna simba mtaani! Nitauwawa sehemu za njia.”
14Kinywa cha malaya ni shimo lenye kina kirefu; hasira ya Yehova huchochewa dhidi ya yule anayetumbukia ndani yake.
15Upumbavu umefungwa katika moyo wa mtoto, lakini marudi ya fimbo huutoa.
16Anayewanyanyasa watu masikini ili kuongeza mali yake, au kuwapa matajiri, atakuwa masikini.

Read Mithali 22Mithali 22
Compare Mithali 22:13-16Mithali 22:13-16