Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 22:13-16 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 22:13-16 in Biblia ya Kiswahili

13 Mtu mvivu husema, “Kuna simba mtaani! Nitauwawa sehemu za njia.”
14 Kinywa cha malaya ni shimo lenye kina kirefu; hasira ya Yehova huchochewa dhidi ya yule anayetumbukia ndani yake.
15 Upumbavu umefungwa katika moyo wa mtoto, lakini marudi ya fimbo huutoa.
16 Anayewanyanyasa watu masikini ili kuongeza mali yake, au kuwapa matajiri, atakuwa masikini.
Mithali 22 in Biblia ya Kiswahili