Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 18

Mithali 18:20-22

Help us?
Click on verse(s) to share them!
20Tumbo la mtu litashiba kutoka kwenye tunda la kinywa chake; atatoshelezwa kwa mavuno ya midomo yake.
21Uzima na kifo hutawaliwa kwa ulimi, na wale wenye kuupenda ulimi watakula tunda lake.
22Yeye apataye mke anapata kitu chema na kupokea fadhila kutoka kwa Yehova.

Read Mithali 18Mithali 18
Compare Mithali 18:20-22Mithali 18:20-22