33Sikilizeni fundisho langu na mpate hekima; wala msilipuuze.
34Anisikilizaye atakuwa na furaha- kila siku akitazama katika malango yangu, akinisubiri pembeni mwa milango ya masikani yangu.
35Maana yeyote anionaye mimi, anapata uzima, naye atapata kibali kwa Yehova.