Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 8

Mithali 8:14-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
14Ninaushauri mzuri na hekima sahihi; mimi ni busara; nguvu zipo kwangu.
15Kwa njia yangu wafalme hutawala- pia na waungwana, na wote ambao hutawala kwa haki.
16Kwa njia yangu wafalme hutawala na waungwana na wote wanaotawala kwa haki.

Read Mithali 8Mithali 8
Compare Mithali 8:14-16Mithali 8:14-16