Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 7

Mithali 7:18-21

Help us?
Click on verse(s) to share them!
18Njoo, tunywe tujishibishe kwa upendo wetu hata asubuhi; tupate furaha kuu kwa matendo ya mahaba.
19Maana mume wangu hayupo nyumbani kwake; amekwenda safari ya mbali.
20Alichukua mkoba wa fedha; atarudi siku ya mwezi mpevu.
21katika maneno yake mengi akamshinda; na kwa midomo yake laini anampotosha.

Read Mithali 7Mithali 7
Compare Mithali 7:18-21Mithali 7:18-21