Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 6

Mithali 6:1-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Mwanangu, kama utaweka pesa zako kuwa dhamana kwa mkopo wa jirani yako; kama ukitoa ahadi yako katika mkopo wa mtu usiyemjua,
2basi umejiwekea mtego mwenyewe na umenaswa kwa maneno ya kinywa chako.
3Mwanagu, ukinaswa kwa maneno yako mwenyewe, fanya haya ili kujiokoa, kwa kuwa umeangukia kwenye mikono ya jirani yako; nenda unyenyekee na ufanye shauri mbele ya jirani yako.
4Usiruhusu usingizi katika macho yako wala kope za macho yako kusinzia.
5Jiokoe mwenyewe kama swala kutoka katika mkono wa mwindaji, kama ndege kutoka katika mkono wa mwinda ndege.

Read Mithali 6Mithali 6
Compare Mithali 6:1-5Mithali 6:1-5