Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 3

Mithali 3:22-29

Help us?
Click on verse(s) to share them!
22Vitakuwa uzima wa nafsi yako na urembo wa hisani wa kuvaa shingoni mwako.
23Ndipo utatembea katika njia yako kwa usalama na mguu wako hautajikwaa;
24ulalapo hutaogopa; utakapolala, usingizi wako utakuwa mtamu.
25Usitishwe na hofu ya ghafula au uharibifu uliosababishwa na waovu unapotokea,
26kwa maana Yehova utakuwa upande wako na ataulinda mguu wako usinaswe kwenye mtego.
27Usizuie mema kwa wale wanaoyastahili, wakati utendaji upo ndani ya mamlaka yako.
28Jirani yako usimwambie, “Nenda, na uje tena, na kesho nitakupa,” wakati pesa unazo.
29Usiweke mpango wa kumdhuru jirani yako- anayeishi jirani nawe na yeye anakuamini.

Read Mithali 3Mithali 3
Compare Mithali 3:22-29Mithali 3:22-29