25Amevaa nguvu na heshima, na wakati ujao huucheka.
26Anafumbua kinywa chake kwa hekima na sheria ya ukarimu ipo kwenye ulimi wake.
27Huangalia njia za nyumba yake na hawezi kula mkate wa uvivu.
28Watoto wake huinuka na kumwita heri na mume wake humsifia, akisema,