19Mikono yake huiweka kwenye mpini wa kisokotea nyuzi na hushikilia kisokotea nyuzi.
20Mkono wake huwafikia watu masikini; mikono yake huwafikia watu wahitaji.
21Haogopi theluji kwa ajili ya kaya yake, kwa maana nyumba yake yote imevika kwa nguo nyekundu.
22Hutengeneza matandiko ya kitanda chake, na huvaa nguo za kitani ya dhambarau safi.
23Mume wake anajulikana malangoni, anapoketi na wazee wa nchi.
24Hutengeneza mavazi ya kitani na kuyauza, na naleta mishipi kwa wafanyabiashara.