2usikilize hekima na utaelekeza moyo wako katika ufahamu.
3kama utalilia ufahamu na kupaza sauti yako kwa ajili ya ufahamu,
4kama utautafuta kama fedha na kupekua ufahamu kama unatafuta hazina iliyojificha,
5ndipo utakapofahamu hofu ya Yehova na utapata maarifa ya Mungu.
6Kwa kuwa Yohova hutoa hekima, katika kinywa chake hutoka maarifa na ufahamu.