Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 2

Mithali 2:16-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Busara na hekima zitakuokoa kutoka kwa mwanamke malaya, kutoka kwa mwanamke anayetafuta visa na mwenye maneno ya kubembeleza.
17Yeye humwacha mwenzi wa ujana wake na kusahau agano la Mungu wake.
18Maana nyumba yake huinama na kufa na mapito yake yatakupeleka kwa wale walioko kaburini.

Read Mithali 2Mithali 2
Compare Mithali 2:16-18Mithali 2:16-18