Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 29

Mithali 29:2-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Watenda mema wanapoongezeka, watu wanafurahi, bali wakati mtu mwovu anapotawala, watu huugua.
3Mwenye kupenda hekima baba yake anafurahi, bali anayeshikamana na makahaba huuharibu utajiri wake.
4Mfalme huimarisha nchi kwa haki, bali mwenye kudai rushwa huirarua.
5Mtu anayejipendekeza kwa jirani yake anatandaza wavu kwenye miguu yake.

Read Mithali 29Mithali 29
Compare Mithali 29:2-5Mithali 29:2-5