Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 24

Mithali 24:5-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Shujaa wa hekima ni imara, na mtu wa maarifa huongeza nguvu zake;
6maana kwa uongozi wa busara unaweza kufanya vita na kwa washauri wengi kuna ushindi.

Read Mithali 24Mithali 24
Compare Mithali 24:5-6Mithali 24:5-6