Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 24

Mithali 24:30-32

Help us?
Click on verse(s) to share them!
30Nilikwenda jirani na shamba la mtu mvivu, nikapita kwenye shamba la mzabibu la mtu asiye na akili.
31Miiba imeota kila sehemu, ardhi ilikuwa imefunikwa kwa upupu, na ukuta wake wa mawe ulikuwa umebomoka.
32Kisha nikaliona na kufikiria juu yake; nikatazama na kupokea mafundisho.

Read Mithali 24Mithali 24
Compare Mithali 24:30-32Mithali 24:30-32