19Usifadhaike kwa sababu ya watenda mabaya, na wala usiwahusudu watu waovu,
20maana mtu mbaya hana matumaini na taa ya watu waovu itazimika.
21Mwanangu; mche Yehova, na umwogope mfalme, usishirikiane na watu wenye kuasi dhidi yao,
22maana kwa ghafula msiba wao utakuja na ni nani ajuaye ukubwa wa uharibifu utakao kuja kutoka kwa hao wote?