Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 22

Mithali 22:20-23

Help us?
Click on verse(s) to share them!
20Sijakuandikia wewe misemo thelathini ya mafundisho na maarifa,
21kwa kukufundisha kweli katika maneno haya yenye uaminifu, ili uwe na majibu yenye kutegemewa kwa waliokutuma?
22Usimwibie masikini kwa sababu ni masikini, au kumponda kwenye lango,
23maana Yehova ataitetea kesi yao, na atawaibia uzima wale waliowaibia masikini.

Read Mithali 22Mithali 22
Compare Mithali 22:20-23Mithali 22:20-23