20 Sijakuandikia wewe misemo thelathini ya mafundisho na maarifa,
21 kwa kukufundisha kweli katika maneno haya yenye uaminifu, ili uwe na majibu yenye kutegemewa kwa waliokutuma?
22 Usimwibie masikini kwa sababu ni masikini, au kumponda kwenye lango,
23 maana Yehova ataitetea kesi yao, na atawaibia uzima wale waliowaibia masikini.