Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 22:20-23 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 22:20-23 in Biblia ya Kiswahili

20 Sijakuandikia wewe misemo thelathini ya mafundisho na maarifa,
21 kwa kukufundisha kweli katika maneno haya yenye uaminifu, ili uwe na majibu yenye kutegemewa kwa waliokutuma?
22 Usimwibie masikini kwa sababu ni masikini, au kumponda kwenye lango,
23 maana Yehova ataitetea kesi yao, na atawaibia uzima wale waliowaibia masikini.
Mithali 22 in Biblia ya Kiswahili