23Anayelinda kinywa chake na ulimi wake hujilinda mwenyewe na taabu.
24Mtu mwenye kiburi na maringo- “Dhihaka” ndilo jina lake - hutenda kwa majivuno na kujidai.
25Shauku ya mtu mvivu itamuua, maana mikono yake hukataa kufanya kazi.
26Kwa siku nzima hupatwa na uchu na uchu zaidi, lakini atendaye haki hutoa na wala hazuii.