27Roho ya mtu ni taa ya Yehova, hutafiti sehemu zake zote za ndani kabisa.
28Agano la uaminifu na udhamini humhifadhi mfalme; kiti chake cha enzi hufanywa thabiti kwa upendo.
29Utukufu wa watu vijana ni nguvu zao na fahari ya watu wazee ni mvi zao.
30Mapigo yanayoleta kidonda huusafisha ubaya na vichapo hufanya sehemu za ndani kabisa kuwa safi.