Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 20

Mithali 20:27-30

Help us?
Click on verse(s) to share them!
27Roho ya mtu ni taa ya Yehova, hutafiti sehemu zake zote za ndani kabisa.
28Agano la uaminifu na udhamini humhifadhi mfalme; kiti chake cha enzi hufanywa thabiti kwa upendo.
29Utukufu wa watu vijana ni nguvu zao na fahari ya watu wazee ni mvi zao.
30Mapigo yanayoleta kidonda huusafisha ubaya na vichapo hufanya sehemu za ndani kabisa kuwa safi.

Read Mithali 20Mithali 20
Compare Mithali 20:27-30Mithali 20:27-30