Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 20

Mithali 20:20-28

Help us?
Click on verse(s) to share them!
20Kama mtu atamlaani baba yake au mama yake, taa yake itapulizwa katikati ya giza.
21Urithi uliopatikana mwanzoni kwa haraka utakuwa na mema kidogo mwishoni.
22Usiseme “Mimi nitakulipiza kwa kosa hili” Msubiri Yehova na yeye atakuokoa.
23Yehova huchukia mizani isiyo sawa na vipimo vya udanganyifu si vizuri.
24Hatua za mtu huongozwa na Yehova; namna gani basi ataifahamu njia yake?
25Ni mtego kwa mtu kusema kwa pupa, “Kitu hiki ni kitakatifu” na kuanza kufikiri juu yake kwamba kina maana gani baada ya kufanya kiapo.
26Mfalme mwenye busara huwapepeta waovu na huligeuza juu yao gurudumu la kupuria.
27Roho ya mtu ni taa ya Yehova, hutafiti sehemu zake zote za ndani kabisa.
28Agano la uaminifu na udhamini humhifadhi mfalme; kiti chake cha enzi hufanywa thabiti kwa upendo.

Read Mithali 20Mithali 20
Compare Mithali 20:20-28Mithali 20:20-28