Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 19

Mithali 19:4-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Utajiri huongeza marafiki wengi, bali mtu masikini hutengwa na rafiki zake.
5Shahidi wa uongo hatakosa adhabu na mwenye kupumua uongo hataokoka.
6Wengi wataomba fadhila kutoka kwa mtu mkarimu na kila mtu ni rafiki wa yule anayetoa zawadi.
7Mtu masikini huchukiwa na ndugu zake wote; je marafiki wengi kiasi gani hujitenga kutoka kwake! Anawaita, lakini wameondoka.
8Anayepata hekima huyapenda maisha yake mwenyewe; yeye atunzaye ufahamu atapata kilicho chema.
9Shahidi wa uongo hatakosa kuadhibiwa, bali mwenye kupumua uongo ataangamia.

Read Mithali 19Mithali 19
Compare Mithali 19:4-9Mithali 19:4-9