Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 19

Mithali 19:17-20

Help us?
Click on verse(s) to share them!
17Mwenye ukarimu kwa masikini humkopesha Yehova na atalipwa kwa kile alichofanya.
18Mrudi mwanao wakati kuna matumaini na usiwe na shauku ya kumweka katika mauti.
19Mtu mwenye hasira kali lazima alipe adhabu; kama ukimwokoa, utafanya hivyo mara mbili.
20Sikiliza ushauri na ukubali maelekezo, ili uweze kuwa na hekima mwishoni mwa maisha yako.

Read Mithali 19Mithali 19
Compare Mithali 19:17-20Mithali 19:17-20