Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 19:17-20 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 19:17-20 in Biblia ya Kiswahili

17 Mwenye ukarimu kwa masikini humkopesha Yehova na atalipwa kwa kile alichofanya.
18 Mrudi mwanao wakati kuna matumaini na usiwe na shauku ya kumweka katika mauti.
19 Mtu mwenye hasira kali lazima alipe adhabu; kama ukimwokoa, utafanya hivyo mara mbili.
20 Sikiliza ushauri na ukubali maelekezo, ili uweze kuwa na hekima mwishoni mwa maisha yako.
Mithali 19 in Biblia ya Kiswahili