Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 18

Mithali 18:9-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Basi, ambaye ni mzembe katika kazi yake ni ndugu yake anayeharibu wengi.
10Jina la Yehova ni mnara imara; atendaye haki hukimbilia na kuwa salama.
11Mali ya tajiri ni mji wake imara na katika fikira zake ni kama ukuta mrefu.
12Moyo wa mtu huwa na kiburi kabla ya anguko lake, bali unyenyekevu hutangulia kabla ya heshima.
13Anayejibu kabla ya kusikiliza- ni upuuzi na aibu yake.
14Roho ya mtu itajinusuru na madhara, bali roho iliyopondeka nani anaweza kuivumilia?
15Moyo wa mwenye akili hujipatia maarifa na usikivu wa mwenye busara huitafuta.

Read Mithali 18Mithali 18
Compare Mithali 18:9-15Mithali 18:9-15