Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 18

Mithali 18:2-4

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Mpumbavu hapati raha katika ufahamu, lakini hufunua kile kilichopo katika moyo wake.
3Mtu mwovu anapokuja, dharau huja pamoja naye- sambamba na aibu na shutuma.
4Maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina kirefu; chemchemi ya hekima ni mkondo unaotiririka.

Read Mithali 18Mithali 18
Compare Mithali 18:2-4Mithali 18:2-4