2Mpumbavu hapati raha katika ufahamu, lakini hufunua kile kilichopo katika moyo wake.
3Mtu mwovu anapokuja, dharau huja pamoja naye- sambamba na aibu na shutuma.
4Maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina kirefu; chemchemi ya hekima ni mkondo unaotiririka.