Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 16

Mithali 16:23-28

Help us?
Click on verse(s) to share them!
23Moyo wa mtu mwenye hekima hutoa busara katika kinywa chake na huongeza ushawishi katika midomo yake.
24Maneno yenye kufaa ni sega la asali -matamu kwenye nafsi na huponya mifupa.
25Kuna njia ambayo huonekana sawa kwa mtu, bali mwisho wake ni njia ya mauti.
26Hamu ya kibarua humfanyia kazi; njaa yake humsihi kuendelea.
27Mtu duni huchimba madhara na usemi wake ni kama moto unaounguza.
28Mtu mkaidi huchochea mafarakano na umbeya huwafarakanisha marafiki.

Read Mithali 16Mithali 16
Compare Mithali 16:23-28Mithali 16:23-28