Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 16:23-28 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 16:23-28 in Biblia ya Kiswahili

23 Moyo wa mtu mwenye hekima hutoa busara katika kinywa chake na huongeza ushawishi katika midomo yake.
24 Maneno yenye kufaa ni sega la asali -matamu kwenye nafsi na huponya mifupa.
25 Kuna njia ambayo huonekana sawa kwa mtu, bali mwisho wake ni njia ya mauti.
26 Hamu ya kibarua humfanyia kazi; njaa yake humsihi kuendelea.
27 Mtu duni huchimba madhara na usemi wake ni kama moto unaounguza.
28 Mtu mkaidi huchochea mafarakano na umbeya huwafarakanisha marafiki.
Mithali 16 in Biblia ya Kiswahili