Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 16

Mithali 16:15-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Katika nuru ya uso wa mfalme ni uzima na fadhila yake ni kama wingu linaloleta mvua ya masika.
16Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko dhahabu. Kuchagua kupata ufahamu ni zaidi kuliko fedha.
17Njia kuu ya watu waadilifu hujitenga na ubaya; mwenye kuyahifadhi maisha yake huilinda njia yake.
18Kiburi hutangulia kabla ya uharibifu na moyo wa kujivuna kabla ya maangamizi.

Read Mithali 16Mithali 16
Compare Mithali 16:15-18Mithali 16:15-18