Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 16:15-18 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 16:15-18 in Biblia ya Kiswahili

15 Katika nuru ya uso wa mfalme ni uzima na fadhila yake ni kama wingu linaloleta mvua ya masika.
16 Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko dhahabu. Kuchagua kupata ufahamu ni zaidi kuliko fedha.
17 Njia kuu ya watu waadilifu hujitenga na ubaya; mwenye kuyahifadhi maisha yake huilinda njia yake.
18 Kiburi hutangulia kabla ya uharibifu na moyo wa kujivuna kabla ya maangamizi.
Mithali 16 in Biblia ya Kiswahili