Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 15

Mithali 15:26-28

Help us?
Click on verse(s) to share them!
26Yehova huyachukia mawazo ya watu waovu, bali maneno ya upole ni safi.
27Mporaji huleta shida kwenye familia yake, bali yeye ambaye huchukia rushwa ataishi.
28Moyo wa yule atendaye haki hutafakari kabla ya kujibu, bali kinywa cha watu waovu humwanga ubaya wake wote.

Read Mithali 15Mithali 15
Compare Mithali 15:26-28Mithali 15:26-28