Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 12

Mithali 12:13-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Mtu mbaya hunaswa kwa maongezi yake mabaya, bali wale watendao haki hujinasua katika taabu.
14Mtu hushiba vitu vyema kutokana na tunda la maneno yake, kama vile kazi ya mikono yake inavyompa thawabu.
15Njia ya mpumbavu ni sawa machoni pake mwenyewe, bali mtu wa hekima husikiliza ushauri.
16Mpumbavu huonyesha hasira yake papo hapo, bali asiyejali tusi ni mwenye busara.

Read Mithali 12Mithali 12
Compare Mithali 12:13-16Mithali 12:13-16