Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 10

Mithali 10:29-31

Help us?
Click on verse(s) to share them!
29Njia ya Yehova huwalinda wale wenye uadilifu, bali kwa waovu ni uhalibifu.
30Wale watendao haki hawataondolewa, bali waovu hawatabaki katika nchi.
31Katika kinywa cha wale watendao haki hutoka tunda la hekima, bali ulimi wa kupotosha utakatwa.

Read Mithali 10Mithali 10
Compare Mithali 10:29-31Mithali 10:29-31