Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 10

Mithali 10:25-27

Help us?
Click on verse(s) to share them!
25Waovu ni kama dhoruba inayopita, na hawapo tena, bali mwenye haki ni msingi unaodumu milele.
26Kama siki kwenye meno na moshi kwenye macho, ndivyo alivyo mvivu kwa wale waliomtuma.
27Hofu ya Yehova huongeza maisha, bali miaka ya waovu itakuwa mifupi.

Read Mithali 10Mithali 10
Compare Mithali 10:25-27Mithali 10:25-27