Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 9

Mithali 9:3-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Amewatuma watumishi wake kupeleka mialiko na kutoka mahali pa juu sana kwenye mji anaita:
4“Wale wasiofunzwa waje hapa!” anawaambia wale wasionaufahamu.
5Njoo, ule chakula, na unywe divai nimeshaichanganya.
6Acheni njia zenu za kijinga, na mkaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
7Yeyote amrekebishaye mwenye dhihaka hukaribisha matusi na yeyote anayemshutumu mtu mbaya atapata madhara.
8Usimshutumu mwenye dhihaka, ama atakuchukia; mshutumu mtu mwenye busara, naye atakupenda.
9Mpe mafundisho mtu mwenye busara, naye atakuwa na busara zaidi; mfundishe mtu mwenye haki, naye ataongeza elimu.
10Hofu ya Mungu ni chanzo cha hekima na maarifa ya Mtakatifu ni ufahamu.
11Maana kwa njia yangu siku zako zitazidishwa na uzima wako utaongezewa miaka.
12Kama unahekima, unahekima kwako mwenyewe, lakini ukidharau, utaibeba peke yako.
13Mwanamke mpumbavu anakelele nyingi- hajafunzwa wala haelewi chochote.

Read Mithali 9Mithali 9
Compare Mithali 9:3-13Mithali 9:3-13