Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 9

Mithali 9:3-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Amewatuma watumishi wake kupeleka mialiko na kutoka mahali pa juu sana kwenye mji anaita:
4“Wale wasiofunzwa waje hapa!” anawaambia wale wasionaufahamu.
5Njoo, ule chakula, na unywe divai nimeshaichanganya.
6Acheni njia zenu za kijinga, na mkaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
7Yeyote amrekebishaye mwenye dhihaka hukaribisha matusi na yeyote anayemshutumu mtu mbaya atapata madhara.
8Usimshutumu mwenye dhihaka, ama atakuchukia; mshutumu mtu mwenye busara, naye atakupenda.
9Mpe mafundisho mtu mwenye busara, naye atakuwa na busara zaidi; mfundishe mtu mwenye haki, naye ataongeza elimu.
10Hofu ya Mungu ni chanzo cha hekima na maarifa ya Mtakatifu ni ufahamu.

Read Mithali 9Mithali 9
Compare Mithali 9:3-10Mithali 9:3-10