Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 9

Mithali 9:12-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Kama unahekima, unahekima kwako mwenyewe, lakini ukidharau, utaibeba peke yako.
13Mwanamke mpumbavu anakelele nyingi- hajafunzwa wala haelewi chochote.
14Anakaa kwenye mlango wa nyumba yake, kwenye kiti cha sehemu ya juu sana ya mji.
15Anawaita kwa sauti wanaopita karibu, watu wale wanaotembea wima katika njia zao.
16Wale ambao hamjafunzwa njoni hapa ndani!” anawaambia wale wasio na akili.
17“Maji ya kuiba ni matamu na mkate unaoliwa kwa siri unapendeza.”

Read Mithali 9Mithali 9
Compare Mithali 9:12-17Mithali 9:12-17