Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 8

Mithali 8:6-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Sikiliza na mimi nitasema mambo mazuri na nifumbuapo midomo yangu nitaongea haki.
7Maana kinywa changu hunena uaminifu na midomo yangu huchukia uovu.
8Maneno ya kinywa changu yote ni haki; hakuna kilichogeuzwa wala kupotoshwa.
9Maneno yangu yote yamenyooka kwa yule mwenye kuelewa; maneno yangu ni haki kwa wale wanaotafuta maarifa.
10Chagua fundisho langu badala ya fedha na maarifa kuliko dhahabu safi.
11Maana mimi, hekima ni bora kuliko vito; hakuna unachokitamani kinaweza kulinganishwa na mimi.
12Mimi, hekima, naishi kwa utaratibu, na ninamiliki maarifa na busara.

Read Mithali 8Mithali 8
Compare Mithali 8:6-12Mithali 8:6-12