Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 8

Mithali 8:33-34

Help us?
Click on verse(s) to share them!
33Sikilizeni fundisho langu na mpate hekima; wala msilipuuze.
34Anisikilizaye atakuwa na furaha- kila siku akitazama katika malango yangu, akinisubiri pembeni mwa milango ya masikani yangu.

Read Mithali 8Mithali 8
Compare Mithali 8:33-34Mithali 8:33-34