Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 8

Mithali 8:21-25

Help us?
Click on verse(s) to share them!
21katika mapito ambayo huelekea kwenye haki, ili niwape urithi wale wanaonipenda na kuzijaza hazina zao.
22Yehova aliniumba tokea mwanzo- mwazoni mwa matendo yake ya nyakati za kale.
23Tokea enzi za kale niliwekwa katika nafasi- tokea kwanza, tokea mwanzo wa dunia.
24Kabla ya bahari, mimi nilizaliwa- kabla ya kuwepo chemchemi zenye maji tele.
25Kabla ya milima na vilima kuwekwa, mimi nilizaliwa.

Read Mithali 8Mithali 8
Compare Mithali 8:21-25Mithali 8:21-25