Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 8

Mithali 8:13-19

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Hofu ya Mungu ni kuchukia uovu- nachukia majivuno na kiburi, njia ya uovu, na kauli iliyopotoka- hivyo ninavichukia.
14Ninaushauri mzuri na hekima sahihi; mimi ni busara; nguvu zipo kwangu.
15Kwa njia yangu wafalme hutawala- pia na waungwana, na wote ambao hutawala kwa haki.
16Kwa njia yangu wafalme hutawala na waungwana na wote wanaotawala kwa haki.
17Nawapenda wale wanaonipenda, na wale wanaonitafuta kwa bidii, wataniona.
18Kwangu kunautajiri na heshima, utajiri wa kudumu na haki.
19Tunda langu ni bora kuliko dhahabu, bora hata kuliko dhahabu safi.

Read Mithali 8Mithali 8
Compare Mithali 8:13-19Mithali 8:13-19