Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 7

Mithali 7:23-27

Help us?
Click on verse(s) to share them!
23mpaka mshale upasue ini lake. Alikuwa kama ndege anayekimbili kwenye mtego. Hakujua kuwa itamgharimu maisha yake.
24Na sasa, wanangu, nisikilizeni; zingatieni maneno ya kinywa changu.
25Moyo wako usiyageukie mapito yake; usipotoshwe katika mapito yake.
26Amesababisha watu wengi kuanguka kwa kuwajeruhi; ameua watu wengi.
27Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti.

Read Mithali 7Mithali 7
Compare Mithali 7:23-27Mithali 7:23-27