23mpaka mshale upasue ini lake. Alikuwa kama ndege anayekimbili kwenye mtego. Hakujua kuwa itamgharimu maisha yake.
24Na sasa, wanangu, nisikilizeni; zingatieni maneno ya kinywa changu.
25Moyo wako usiyageukie mapito yake; usipotoshwe katika mapito yake.
26Amesababisha watu wengi kuanguka kwa kuwajeruhi; ameua watu wengi.
27Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti.