21katika maneno yake mengi akamshinda; na kwa midomo yake laini anampotosha.
22Ghafula alimfuata kama maksai anayekwenda kwa mchinjaji, kama ayala aliyekamatwa kwa nguvu,
23mpaka mshale upasue ini lake. Alikuwa kama ndege anayekimbili kwenye mtego. Hakujua kuwa itamgharimu maisha yake.
24Na sasa, wanangu, nisikilizeni; zingatieni maneno ya kinywa changu.