2Uzilinde amri zangu ili uishi na uyatunzetu mafundisho yangu kama mboni ya jicho.
3Uyafunge katika vidole vyako; uyaandike katika kibao cha moyo wako.
4Mwambie hekima, “wewe ni dada yangu,” na ufahamu mwite jamaa yako,
5ili ujitunze mwenyewe dhidi ya mwanake haramu, dhidi ya mwanamke mgeni mwenye maneno laini.
6Nilikuwa naangalia kwenye wavu wa dirisha la nyumba yangu.