Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 5

Mithali 5:21-23

Help us?
Click on verse(s) to share them!
21Yehova huona kila kitu afanyacho mtu na huangalia mapito yake yote.
22Mtu mwovu atatekwa na makosa yake mwenyewe; kamba za dhambi yake zitamnasa kwa nguvu.
23Atakufa kwa kukosa maonyo; atapotelea mbali kwa upumbavu wake wingi.

Read Mithali 5Mithali 5
Compare Mithali 5:21-23Mithali 5:21-23